4 “Lakini mimi ni Yehova Mungu wako kuanzia nchi ya Misri,+ wala hukuwa unamjua Mungu mwingine yeyote ila mimi; wala hapakuwa na mwokozi mwingine yeyote ila mimi.+
19Baada ya mambo haya nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati mkubwa mbinguni.+ Walisema: “Msifuni Yah!+ Wokovu+ na utukufu na nguvu ni za Mungu wetu,+