Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 37:39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 39 Nao wokovu wa watu waadilifu ni kutoka kwa Yehova;+

      Yeye ni ngome yao wakati wa taabu.+

  • Methali 21:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Farasi ni kitu kilichowekwa tayari kwa ajili ya siku ya pigano,+ lakini wokovu ni wa Yehova.+

  • Isaya 43:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mimi—mimi ni Yehova,+ na zaidi ya mimi hakuna mwokozi.”+

  • Hosea 13:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 “Lakini mimi ni Yehova Mungu wako kuanzia nchi ya Misri,+ wala hukuwa unamjua Mungu mwingine yeyote ila mimi; wala hapakuwa na mwokozi mwingine yeyote ila mimi.+

  • Yona 2:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Lakini mimi, kwa sauti ya kutoa shukrani nitakutolea dhabihu.+

      Nilichoweka nadhiri, nitakitimiza.+ Wokovu ni wa Yehova.”+

  • Ufunuo 19:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Baada ya mambo haya nikasikia kitu kama sauti kubwa ya umati mkubwa mbinguni.+ Walisema: “Msifuni Yah!+ Wokovu+ na utukufu na nguvu ni za Mungu wetu,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki