Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 50:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Toa shukrani zikiwa dhabihu yako kwa Mungu,+

      Na umtimizie Aliye Juu Zaidi nadhiri zako;+

  • Hosea 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Chukueni maneno pamoja nanyi mrudi kwa Yehova.+ Mwambieni hivi, enyi nyote, ‘Samehe kosa letu;+ na ukubali lililo jema, nasi tutatoa ng’ombe-dume wachanga wa midomo yetu.+

  • Waroma 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hiyo nawasihi ninyi kwa huruma za Mungu, akina ndugu, mtoe miili+ yenu iwe dhabihu+ iliyo hai,+ takatifu,+ yenye kukubalika kwa Mungu,+ utumishi mtakatifu+ pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+

  • Waebrania 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Kupitia yeye sikuzote na tumtolee Mungu dhabihu ya sifa,+ yaani, tunda la midomo+ ambayo hulifanyia jina lake tangazo la hadharani.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki