2 Wakorintho 7:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa tuna ahadi hizi,+ acheni tujisafishe+ wenyewe kila unajisi wa mwili na roho,+ tukiukamilisha utakatifu katika kumwogopa Mungu.+ 1 Petro 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 bali, kwa kupatana na Mtakatifu aliyewaita, ninyi wenyewe pia iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote,+
7 Kwa hiyo, wapendwa, kwa kuwa tuna ahadi hizi,+ acheni tujisafishe+ wenyewe kila unajisi wa mwili na roho,+ tukiukamilisha utakatifu katika kumwogopa Mungu.+
15 bali, kwa kupatana na Mtakatifu aliyewaita, ninyi wenyewe pia iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote,+