16 Na hekalu la Mungu lina upatano gani na sanamu?+ Kwa maana sisi ni hekalu+ la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema: “Mimi nitakaa katikati yao+ na kutembea katikati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+
4 Kupitia mambo haya ametupa sisi bila malipo ahadi zenye thamani na zilizo bora sana,+ ili kupitia hizi ninyi muwe washiriki katika asili+ ya kimungu,+ mkiwa mmeponyoka kutoka katika uharibifu ulio katika ulimwengu+ kutokana na uchu.