Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 6:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na hekalu la Mungu lina upatano gani na sanamu?+ Kwa maana sisi ni hekalu+ la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema: “Mimi nitakaa katikati yao+ na kutembea katikati yao, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+

  • 2 Petro 1:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kupitia mambo haya ametupa sisi bila malipo ahadi zenye thamani na zilizo bora sana,+ ili kupitia hizi ninyi muwe washiriki katika asili+ ya kimungu,+ mkiwa mmeponyoka kutoka katika uharibifu ulio katika ulimwengu+ kutokana na uchu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki