10 Kwa maana wao kwa siku chache walikuwa wakitutia nidhamu kulingana na yaliyoonekana kuwa mema kwao,+ lakini yeye hufanya hivyo kwa faida yetu ili tuushiriki utakatifu wake.+
2 Wapendwa, sasa sisi ni watoto wa Mungu,+ lakini bado haijafunuliwa jinsi tutakavyokuwa.+ Tunajua kwamba wakati wowote atakapofunuliwa+ tutakuwa kama yeye,+ kwa sababu tutamwona kama vile yeye alivyo.+
6 Mwenye furaha+ na mtakatifu+ ni yeyote aliye na sehemu katika ufufuo wa kwanza; kifo cha pili+ hakina mamlaka juu ya hao,+ bali watakuwa makuhani+ wa Mungu na wa Kristo, nao watatawala wakiwa wafalme pamoja naye ile miaka elfu.+