1 Petro 2:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ watu wa kuwa mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”+ zake yeye aliyewaita ninyi kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+ Ufunuo 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 naye alitufanya tuwe ufalme,+ makuhani+ kwa Mungu na Baba yake—ndiyo, kwake yeye na kuwe utukufu na nguvu milele.+ Amina.
9 Lakini ninyi ni “jamii iliyochaguliwa, ukuhani wa kifalme, taifa takatifu,+ watu wa kuwa mali ya pekee,+ ili mtangaze kotekote sifa bora”+ zake yeye aliyewaita ninyi kutoka katika giza kuingia katika nuru yake ya ajabu.+
6 naye alitufanya tuwe ufalme,+ makuhani+ kwa Mungu na Baba yake—ndiyo, kwake yeye na kuwe utukufu na nguvu milele.+ Amina.