Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ufunuo 14:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nami nikasikia sauti kutoka mbinguni ikisema: “Andika: Wenye furaha ni wafu+ wanaokufa katika muungano na Bwana+ tangu wakati huu na kuendelea.+ Ndiyo, roho inasema, acheni wapumzike kutokana na kazi zao za jasho, kwa maana mambo waliyotenda yanaambatana nao moja kwa moja.”

  • Ufunuo 22:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Na, tazama! mimi ninakuja upesi.+ Mwenye furaha ni yeyote anayeshika maneno ya unabii wa kitabu hiki cha kukunjwa.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki