Ufunuo 16:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 “Tazama! Ninakuja kama mwizi.+ Mwenye furaha ni yule anayekaa macho+ na kutunza mavazi yake ya nje, ili asipate kutembea akiwa uchi na watu waitazame aibu yake.”+ Ufunuo 22:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 “Yeye anayetoa ushahidi juu ya mambo haya asema, ‘Ndiyo; mimi ninakuja upesi.’ ”+ “Amina! Njoo, Bwana Yesu.”
15 “Tazama! Ninakuja kama mwizi.+ Mwenye furaha ni yule anayekaa macho+ na kutunza mavazi yake ya nje, ili asipate kutembea akiwa uchi na watu waitazame aibu yake.”+
20 “Yeye anayetoa ushahidi juu ya mambo haya asema, ‘Ndiyo; mimi ninakuja upesi.’ ”+ “Amina! Njoo, Bwana Yesu.”