Ufunuo 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Mimi ninakuja upesi.+ Endelea kushika sana kile ulicho nacho,+ ili yeyote asilichukue taji+ lako. Ufunuo 22:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na, tazama! mimi ninakuja upesi.+ Mwenye furaha ni yeyote anayeshika maneno ya unabii wa kitabu hiki cha kukunjwa.”+
7 Na, tazama! mimi ninakuja upesi.+ Mwenye furaha ni yeyote anayeshika maneno ya unabii wa kitabu hiki cha kukunjwa.”+