Yohana 13:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Ikiwa mnajua mambo haya, wenye furaha ni ninyi ikiwa mnayatenda.+ Ufunuo 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Mwenye furaha+ ni yeye anayesoma kwa sauti+ na wale wanaosikia maneno ya unabii huu,+ na wanaoshika mambo yaliyoandikwa humo;+ kwa maana wakati uliowekwa uko karibu.+
3 Mwenye furaha+ ni yeye anayesoma kwa sauti+ na wale wanaosikia maneno ya unabii huu,+ na wanaoshika mambo yaliyoandikwa humo;+ kwa maana wakati uliowekwa uko karibu.+