Zaburi 1:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Bali mapendezi yake ni katika sheria ya Yehova,+Naye huisoma sheria yake kwa sauti ya chini mchana na usiku.+ 1 Timotheo 4:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ninapokuwa nikija, endelea kufanya bidii katika kusoma+ mbele ya watu wote,+ katika kuhimiza, katika kufundisha.
2 Bali mapendezi yake ni katika sheria ya Yehova,+Naye huisoma sheria yake kwa sauti ya chini mchana na usiku.+
13 Ninapokuwa nikija, endelea kufanya bidii katika kusoma+ mbele ya watu wote,+ katika kuhimiza, katika kufundisha.