Luka 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Lakini akasema: “Hapana, badala yake, Wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika!”+ Yakobo 1:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hata hivyo, iweni watendaji wa neno,+ na si wasikiaji tu, mkijidanganya wenyewe kwa mawazo yasiyo ya kweli.+
28 Lakini akasema: “Hapana, badala yake, Wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika!”+
22 Hata hivyo, iweni watendaji wa neno,+ na si wasikiaji tu, mkijidanganya wenyewe kwa mawazo yasiyo ya kweli.+