Mathayo 10:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Na msiwaogope+ wale ambao wanaua mwili lakini hawawezi kuiua nafsi; lakini badala ya hivyo mwogopeni+ yeye anayeweza kuangamiza vyote viwili nafsi na mwili katika Gehena.*+ Ufunuo 2:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Yeye aliye na sikio na asikie+ yale ambayo roho+ inayaambia makutaniko: Yeye atakayeshinda,+ kifo cha pili+ hakitamdhuru hata kidogo.’ Ufunuo 20:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na kifo+ na Kaburi* vikatupwa ndani ya lile ziwa la moto. Hili linamaanisha kifo cha pili,+ lile ziwa la moto.+
28 Na msiwaogope+ wale ambao wanaua mwili lakini hawawezi kuiua nafsi; lakini badala ya hivyo mwogopeni+ yeye anayeweza kuangamiza vyote viwili nafsi na mwili katika Gehena.*+
11 Yeye aliye na sikio na asikie+ yale ambayo roho+ inayaambia makutaniko: Yeye atakayeshinda,+ kifo cha pili+ hakitamdhuru hata kidogo.’
14 Na kifo+ na Kaburi* vikatupwa ndani ya lile ziwa la moto. Hili linamaanisha kifo cha pili,+ lile ziwa la moto.+