Luka 22:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 ili mpate kula+ na kunywa mezani pangu katika ufalme wangu,+ na kuketi juu ya viti vya ufalme+ kuyahukumu makabila kumi na mawili ya Israeli. Yohana 14:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Katika nyumba ya Baba yangu mna makao mengi.+ Kama sivyo, ningaliwaambia ninyi, kwa sababu ninaenda kuwatayarishia ninyi mahali.+ Wagalatia 3:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Zaidi ya hayo, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa Abrahamu,+ warithi kuhusiana na ahadi.+
30 ili mpate kula+ na kunywa mezani pangu katika ufalme wangu,+ na kuketi juu ya viti vya ufalme+ kuyahukumu makabila kumi na mawili ya Israeli.
2 Katika nyumba ya Baba yangu mna makao mengi.+ Kama sivyo, ningaliwaambia ninyi, kwa sababu ninaenda kuwatayarishia ninyi mahali.+
29 Zaidi ya hayo, ikiwa ninyi ni wa Kristo, ninyi kwa kweli ni uzao wa Abrahamu,+ warithi kuhusiana na ahadi.+