Luka 12:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 “Msiogope,+ kundi dogo,+ kwa sababu Baba yenu amekubali kuwapa ninyi ufalme.+ Wakolosai 1:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 kwa sababu ya tumaini+ ambalo linawekwa akiba kwa ajili yenu mbinguni.+ Tumaini hili mlilisikia hapo mbele kupitia kutangazwa kwa ile kweli ya habari njema+ 1 Petro 1:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 kwenye urithi usioharibika na usiotiwa unajisi na usiofifia.+ Huo umewekwa akiba mbinguni kwa ajili yenu,+
5 kwa sababu ya tumaini+ ambalo linawekwa akiba kwa ajili yenu mbinguni.+ Tumaini hili mlilisikia hapo mbele kupitia kutangazwa kwa ile kweli ya habari njema+
4 kwenye urithi usioharibika na usiotiwa unajisi na usiofifia.+ Huo umewekwa akiba mbinguni kwa ajili yenu,+