Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zekaria 13:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 “Na itatukia katika siku hiyo,” asema Yehova wa majeshi, “kwamba nitakatilia mbali majina ya sanamu kutoka katika nchi,+ nayo hayatakumbukwa tena kamwe; nami nitaondoa pia katika nchi manabii+ na roho ya uchafu.+

  • Waroma 12:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa sababu hiyo nawasihi ninyi kwa huruma za Mungu, akina ndugu, mtoe miili+ yenu iwe dhabihu+ iliyo hai,+ takatifu,+ yenye kukubalika kwa Mungu,+ utumishi mtakatifu+ pamoja na nguvu zenu za kufikiri.+

  • 1 Timotheo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa kweli lengo la amri hii ni upendo+ kutokana na moyo safi+ na kutokana na dhamiri njema+ na kutokana na imani bila unafiki.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki