Mathayo 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Wenye furaha ni wale walio safi moyoni,+ kwa kuwa watamwona Mungu.+ 2 Timotheo 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa hiyo, zikimbie tamaa zinazotukia ujanani,+ lakini fuatilia uadilifu,+ imani, upendo, amani,+ pamoja na wale wanaomwitia Bwana kutokana na moyo safi.+
22 Kwa hiyo, zikimbie tamaa zinazotukia ujanani,+ lakini fuatilia uadilifu,+ imani, upendo, amani,+ pamoja na wale wanaomwitia Bwana kutokana na moyo safi.+