Zaburi 24:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Yeyote asiye na hatia katika mikono yake na aliye safi moyoni,+Ambaye hajaitendea nafsi Yangu kwa ubatili mtupu,+Wala kuapa kwa udanganyifu.+ Zaburi 73:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 73 Kwa kweli Mungu ni mwema kwa Israeli, kwa wale walio safi moyoni.+ Methali 22:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Anayependa usafi wa moyo+—mfalme atakuwa mwenzake kwa sababu ya uvutio wa midomo yake.+ Tito 1:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Vitu vyote ni safi kwa watu safi.+ Lakini kwa watu waliotiwa unajisi+ na wasio na imani+ hakuna kitu chochote kilicho safi, bali akili zao na pia dhamiri+ zao zimetiwa unajisi.
4 Yeyote asiye na hatia katika mikono yake na aliye safi moyoni,+Ambaye hajaitendea nafsi Yangu kwa ubatili mtupu,+Wala kuapa kwa udanganyifu.+
15 Vitu vyote ni safi kwa watu safi.+ Lakini kwa watu waliotiwa unajisi+ na wasio na imani+ hakuna kitu chochote kilicho safi, bali akili zao na pia dhamiri+ zao zimetiwa unajisi.