Zaburi 45:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kwa kweli wewe una sura nzuri kuliko wana wa binadamu.+Uvutio umemiminwa juu ya midomo yako.+Ndiyo sababu Mungu amekubariki mpaka wakati usio na kipimo.+ Methali 16:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Midomo ya uadilifu ni furaha ya mfalme mkuu;+ naye humpenda mtu anayesema mambo ya unyoofu.+
2 Kwa kweli wewe una sura nzuri kuliko wana wa binadamu.+Uvutio umemiminwa juu ya midomo yako.+Ndiyo sababu Mungu amekubariki mpaka wakati usio na kipimo.+