Ufunuo 12:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nami nikaisikia sauti kubwa mbinguni ikisema: “Sasa kumekuwa na wokovu+ na nguvu+ na ufalme wa Mungu wetu+ na mamlaka ya Kristo wake,+ kwa sababu mshtaki wa ndugu zetu ametupwa chini, anayewashtaki mchana na usiku mbele za Mungu wetu!+
10 Nami nikaisikia sauti kubwa mbinguni ikisema: “Sasa kumekuwa na wokovu+ na nguvu+ na ufalme wa Mungu wetu+ na mamlaka ya Kristo wake,+ kwa sababu mshtaki wa ndugu zetu ametupwa chini, anayewashtaki mchana na usiku mbele za Mungu wetu!+