Zaburi 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye Yehova atakuwa kilele salama kwa ajili ya mtu yeyote aliyekandamizwa,+Kilele salama wakati wa taabu.+ Zaburi 46:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Kwetu Mungu ni kimbilio na nguvu,+Msaada unaopatikana kwa utayari wakati wataabu.+ Zaburi 91:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Ataniitia, nami nitamjibu.+Nitakuwa pamoja naye katika taabu.+Nitamwokoa na kumtukuza.+ Isaya 33:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Ee Yehova, tuonyeshe kibali.+ Tumekutumaini wewe.+ Uwe mkono+ wetu kila asubuhi,+ ndiyo, wokovu wetu wakati wa taabu.+
9 Naye Yehova atakuwa kilele salama kwa ajili ya mtu yeyote aliyekandamizwa,+Kilele salama wakati wa taabu.+
2 Ee Yehova, tuonyeshe kibali.+ Tumekutumaini wewe.+ Uwe mkono+ wetu kila asubuhi,+ ndiyo, wokovu wetu wakati wa taabu.+