Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 9:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Naye Yehova atakuwa kilele salama kwa ajili ya mtu yeyote aliyekandamizwa,+

      Kilele salama wakati wa taabu.+

  • Zaburi 46:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Kwetu Mungu ni kimbilio na nguvu,+

      Msaada unaopatikana kwa utayari wakati wa

      taabu.+

  • Zaburi 91:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ataniitia, nami nitamjibu.+

      Nitakuwa pamoja naye katika taabu.+

      Nitamwokoa na kumtukuza.+

  • Isaya 33:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Ee Yehova, tuonyeshe kibali.+ Tumekutumaini wewe.+ Uwe mkono+ wetu kila asubuhi,+ ndiyo, wokovu wetu wakati wa taabu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki