Zaburi 44:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,Kwa sababu ulipendezwa nao.+ Zaburi 89:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Wewe mwenyewe umemponda Rahabu,+ kama mtu aliyeuawa.+Kwa mkono wa nguvu zako umewatawanya adui zako.+ Isaya 52:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Yehova ameweka wazi mkono wake mtakatifu mbele ya macho ya mataifa yote;+ na miisho yote ya dunia itauona wokovu wa Mungu wetu.+
3 Kwa maana hawakuimiliki nchi hiyo kwa upanga wao wenyewe,+Wala wokovu haukuletwa kwa mkono wao wenyewe.+Kwa maana ulikuwa ni mkono wako wa kuume,+ naam, mkono wako na nuru ya uso wako,Kwa sababu ulipendezwa nao.+
10 Wewe mwenyewe umemponda Rahabu,+ kama mtu aliyeuawa.+Kwa mkono wa nguvu zako umewatawanya adui zako.+
10 Yehova ameweka wazi mkono wake mtakatifu mbele ya macho ya mataifa yote;+ na miisho yote ya dunia itauona wokovu wa Mungu wetu.+