Zaburi 37:39 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 39 Nao wokovu wa watu waadilifu ni kutoka kwa Yehova;+Yeye ni ngome yao wakati wa taabu.+ Zaburi 46:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Kwetu Mungu ni kimbilio na nguvu,+Msaada unaopatikana kwa utayari wakati wataabu.+ Nahumu 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Yehova ni mwema,+ yeye ni ngome+ katika siku ya taabu.+ Naye hutambua wale wanaotafuta kimbilio kwake.+
7 Yehova ni mwema,+ yeye ni ngome+ katika siku ya taabu.+ Naye hutambua wale wanaotafuta kimbilio kwake.+