Zaburi 32:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wewe ni mahali pangu pa kujificha; utanilinda kutokana na taabu.+Utanizingira kwa vigelegele vya shangwe kwa sababu ya kuniokoa.+ Sela. Zaburi 46:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 46 Kwetu Mungu ni kimbilio na nguvu,+Msaada unaopatikana kwa utayari wakati wataabu.+ Zaburi 91:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nitamwambia Yehova: “Wewe ni kimbilio langu na ngome yangu,+Mungu wangu, ambaye nitamtegemea.”+ Ufunuo 7:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Nao wanaendelea kupaaza sauti kubwa, wakisema: “Wokovu unatoka kwa Mungu wetu,+ anayeketi juu ya kiti cha ufalme,+ na Mwana-Kondoo.”+
7 Wewe ni mahali pangu pa kujificha; utanilinda kutokana na taabu.+Utanizingira kwa vigelegele vya shangwe kwa sababu ya kuniokoa.+ Sela.
10 Nao wanaendelea kupaaza sauti kubwa, wakisema: “Wokovu unatoka kwa Mungu wetu,+ anayeketi juu ya kiti cha ufalme,+ na Mwana-Kondoo.”+