Zaburi 9:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Naye Yehova atakuwa kilele salama kwa ajili ya mtu yeyote aliyekandamizwa,+Kilele salama wakati wa taabu.+ Zaburi 27:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana atanificha mafichoni mwake katika siku ya msiba;+Atanificha katika mahali pa siri pa hema lake;+Ataniweka juu kwenye mwamba.+ Zaburi 119:114 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 114 Wewe ni mahali pangu pa kujificha na ngao yangu.+Kwa maana nimelingojea neno lako.+
9 Naye Yehova atakuwa kilele salama kwa ajili ya mtu yeyote aliyekandamizwa,+Kilele salama wakati wa taabu.+
5 Kwa maana atanificha mafichoni mwake katika siku ya msiba;+Atanificha katika mahali pa siri pa hema lake;+Ataniweka juu kwenye mwamba.+