Zaburi 3:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na bado wewe, Ee Yehova, ni ngao inayonizunguka,+Utukufu+ wangu na Mwenye kuinua kichwa changu.+ Zaburi 32:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wewe ni mahali pangu pa kujificha; utanilinda kutokana na taabu.+Utanizingira kwa vigelegele vya shangwe kwa sababu ya kuniokoa.+ Sela. Zaburi 91:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nitamwambia Yehova: “Wewe ni kimbilio langu na ngome yangu,+Mungu wangu, ambaye nitamtegemea.”+
7 Wewe ni mahali pangu pa kujificha; utanilinda kutokana na taabu.+Utanizingira kwa vigelegele vya shangwe kwa sababu ya kuniokoa.+ Sela.