Kutoka 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wakati huo Musa na wana wa Israeli wakaanza kumwimbia Yehova wimbo huu na kusema yafuatayo:+“Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana ametukuzwa sana.+Farasi na mpandaji wake amewatupa baharini.+ Waamuzi 5:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Na katika siku hiyo Debora+ pamoja na Baraka+ mwana wa Abinoamu+ wakaanza kuimba,+ wakisema: 2 Samweli 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na Daudi akamwambia Yehova maneno ya wimbo+ huu siku ambayo Yehova alikuwa amemkomboa kutoka katika mkono wa adui+ zake wote na kutoka katika mkono wa Sauli;+
15 Wakati huo Musa na wana wa Israeli wakaanza kumwimbia Yehova wimbo huu na kusema yafuatayo:+“Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana ametukuzwa sana.+Farasi na mpandaji wake amewatupa baharini.+
5 Na katika siku hiyo Debora+ pamoja na Baraka+ mwana wa Abinoamu+ wakaanza kuimba,+ wakisema: 2 Samweli 22:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Na Daudi akamwambia Yehova maneno ya wimbo+ huu siku ambayo Yehova alikuwa amemkomboa kutoka katika mkono wa adui+ zake wote na kutoka katika mkono wa Sauli;+
22 Na Daudi akamwambia Yehova maneno ya wimbo+ huu siku ambayo Yehova alikuwa amemkomboa kutoka katika mkono wa adui+ zake wote na kutoka katika mkono wa Sauli;+