Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 15:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wakati huo Musa na wana wa Israeli wakaanza kumwimbia Yehova wimbo huu na kusema yafuatayo:+

      “Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana ametukuzwa sana.+

      Farasi na mpandaji wake amewatupa baharini.+

  • Kumbukumbu la Torati 31:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Na sasa jiandikieni wenyewe wimbo huu+ na kuwafundisha wana wa Israeli.+ Uwekeni katika vinywa vyao ili wimbo huu upate kuwa shahidi wangu juu ya wana wa Israeli.+

  • Kumbukumbu la Torati 31:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Naye Musa akasema masikioni mwa kutaniko lote la Israeli maneno ya wimbo huu mpaka yakaisha:+

  • 1 Mambo ya Nyakati 16:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mwimbieni,+ mpigieni muziki,+

      Jishughulisheni na matendo yake yote ya ajabu.+

  • Zaburi 18:utangulizi
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • Kwa kiongozi. Wa mtumishi wa Yehova, wa Daudi, aliyemwambia Yehova maneno ya wimbo huu siku ambayo Yehova alikuwa amemkomboa kutoka mkononi mwa adui zake wote na kutoka mkononi mwa Sauli.+ Naye akasema:

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki