Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 22
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Samweli 22:1

Marejeo

  • +Kut 15:1; Amu 5:1
  • +Zb 18:utangulizi; 34:19
  • +1Sa 23:14

2 Samweli 22:2

Marejeo

  • +Zb 18:2
  • +Zb 31:3
  • +Zb 144:2

2 Samweli 22:3

Marejeo

  • +Kum 32:4; 1Sa 2:2; Zb 144:1
  • +Mwa 15:1; Kum 33:29; Zb 3:3
  • +1Sa 2:1
  • +Zb 9:9; 18:2; 61:3; Met 18:10
  • +Zb 59:16; Yer 16:19
  • +Isa 12:2; Lu 1:47; Tit 3:4
  • +Zb 72:14

2 Samweli 22:4

Marejeo

  • +Zb 148:1
  • +Zb 18:3

2 Samweli 22:5

Marejeo

  • +Zb 69:14
  • +Zb 18:4

2 Samweli 22:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Sheoli. Tazama Nyongeza 4.

Marejeo

  • +Zb 116:3
  • +Zb 18:5

2 Samweli 22:7

Marejeo

  • +Zb 120:1; 142:1; Yon 2:2
  • +Zb 116:4
  • +Zb 18:6
  • +Kut 3:7; Zb 34:15

2 Samweli 22:8

Marejeo

  • +Amu 5:4
  • +Ayu 26:11
  • +Zb 18:7; 77:18; 97:4

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

2 Samweli 22:9

Marejeo

  • +Zb 97:3; Isa 30:27
  • +Zb 18:8

2 Samweli 22:10

Marejeo

  • +Zb 144:5; Isa 64:1
  • +Kum 4:11; 1Fa 8:12; Zb 18:9; 97:2

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu,

2 Samweli 22:11

Marejeo

  • +1Sa 4:4; Zb 80:1; 99:1
  • +Zb 18:10; Ebr 1:7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 431

2 Samweli 22:12

Marejeo

  • +Ayu 36:29
  • +Zb 18:11

2 Samweli 22:13

Marejeo

  • +Zb 18:12

2 Samweli 22:14

Marejeo

  • +Kut 19:16; 1Sa 2:10
  • +Zb 18:13; Isa 30:30

2 Samweli 22:15

Marejeo

  • +Zb 7:13; 77:17
  • +Zb 18:14; 144:6

2 Samweli 22:16

Marejeo

  • +Kut 14:21; Zb 106:9; 114:3; Nah 1:4
  • +1Sa 2:8; 1Nya 16:30; Zb 9:8; 33:8; 77:18
  • +Kut 15:8; Zb 18:15

2 Samweli 22:17

Marejeo

  • +Zb 18:16; 144:7
  • +Zb 32:6; 124:4; Omb 3:54

2 Samweli 22:18

Marejeo

  • +Zb 3:7; 56:9
  • +Zb 18:17

2 Samweli 22:19

Marejeo

  • +1Sa 19:11; 23:26; 2Sa 15:10
  • +Zb 18:18; 118:10; Isa 50:10

2 Samweli 22:20

Marejeo

  • +Zb 31:8; 118:5
  • +Zb 18:19; 149:4

2 Samweli 22:21

Marejeo

  • +1Sa 26:23; 1Fa 8:32
  • +Zb 18:20; 24:4

2 Samweli 22:22

Marejeo

  • +Met 8:32; Mhu 12:13
  • +Zb 18:21

2 Samweli 22:23

Marejeo

  • +Kum 6:1; 7:12; Zb 19:9; 119:30
  • +Kum 8:11; Zb 18:22

2 Samweli 22:24

Marejeo

  • +Mwa 6:9; 17:1; Kum 18:13; Zb 84:11
  • +Zb 18:23; Met 14:16

2 Samweli 22:25

Marejeo

  • +Ayu 34:11; Zb 7:8; Isa 3:10; Ebr 11:6
  • +Zb 18:24; Met 5:21

2 Samweli 22:26

Marejeo

  • +Zb 37:28; 86:2; 97:10; Yer 3:12
  • +Zb 18:25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    6/1/2010, uku. 26

    8/15/2002, uku. 5

    11/15/1992, uku. 19

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 6/1 26; w02 8/15 5

2 Samweli 22:27

Marejeo

  • +Zb 18:26; Mt 5:8; 1Pe 1:16
  • +Kum 28:62; Zb 125:5; Ro 1:28

2 Samweli 22:28

Marejeo

  • +Ayu 34:28; Sef 3:12
  • +Ayu 40:11; Zb 18:27; 101:5; Da 4:37; 1Pe 5:5

2 Samweli 22:29

Marejeo

  • +Ayu 29:3; Zb 27:1; Isa 60:19
  • +Zb 18:28; 97:11; Mt 13:43

2 Samweli 22:30

Marejeo

  • +Flp 4:13; Ebr 11:34
  • +Kum 2:36; Zb 18:29

2 Samweli 22:31

Marejeo

  • +Kum 32:4
  • +Zb 12:6; 119:140; Met 30:5
  • +2Sa 22:3; Zb 18:30; 35:2; 91:4

2 Samweli 22:32

Marejeo

  • +Isa 44:6; 45:5; 1Ko 8:4
  • +Kum 32:31; 1Sa 2:2; Zb 18:31; 94:22; 95:1

2 Samweli 22:33

Marejeo

  • +Zb 27:1; 31:4; Isa 12:2
  • +Zb 18:32; Isa 26:7

2 Samweli 22:34

Marejeo

  • +Zb 18:33; Hab 3:19
  • +Kum 32:13; Isa 33:16; 58:14

2 Samweli 22:35

Marejeo

  • +Zb 144:1
  • +Zb 18:34

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 169

2 Samweli 22:36

Marejeo

  • +Zb 18:35
  • +Zb 113:6

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    8/2020, uku. 8

    Ufahamu, uku. 1159

    Mnara wa Mlinzi,

    11/15/2012, uku. 17

    9/15/2010, uku. 14

    11/1/2004, uku. 29

  • Fahirishi ya Machapisho

    w12 11/15 17; w10 9/15 14; w04 11/1 29

2 Samweli 22:37

Marejeo

  • +Zb 4:1; 18:36
  • +Zb 17:5

2 Samweli 22:38

Marejeo

  • +Zb 18:37

2 Samweli 22:39

Marejeo

  • +Zb 110:6
  • +Kut 14:13
  • +Zb 18:38; 110:1; Mal 4:3

2 Samweli 22:40

Marejeo

  • +1Sa 23:5; Zb 44:3
  • +1Sa 17:49; Zb 18:39; 44:5; 144:2

2 Samweli 22:41

Marejeo

  • +Mwa 49:8; Kut 23:27; Yos 10:24
  • +Zb 18:40; 21:8

2 Samweli 22:42

Marejeo

  • +Zb 18:41
  • +1Sa 28:6; Ayu 27:9; Met 1:28; Isa 1:15; Eze 20:3; Mik 3:4

2 Samweli 22:43

Marejeo

  • +Zb 18:42; Isa 10:6; Mik 7:10; Zek 10:5

2 Samweli 22:44

Marejeo

  • +1Sa 30:6; 2Sa 15:12
  • +Kum 28:13; 2Sa 8:3; Zb 2:8; 60:8
  • +Zb 18:43; Isa 55:5; 65:1; Ho. 2:23; Mdo 15:14

2 Samweli 22:45

Marejeo

  • +Kum 33:29; 1Fa 10:24; Isa 61:5; Zek 8:23
  • +Zb 18:44

2 Samweli 22:46

Marejeo

  • +Zb 18:45; Mik 7:17

2 Samweli 22:47

Marejeo

  • +Kum 32:40
  • +Kum 32:4
  • +Zb 18:46; 89:26

2 Samweli 22:48

Marejeo

  • +1Sa 25:29; 2Sa 18:19; Zb 94:1
  • +Zb 18:47; 110:1; 144:2; 1Ko 15:25

2 Samweli 22:49

Marejeo

  • +Zb 18:48
  • +2Sa 5:12; 7:9
  • +Zb 140:1

2 Samweli 22:50

Marejeo

  • +Kum 32:43; Zb 18:49; 117:1; Ro 15:9
  • +1Nya 16:9; Zb 145:2; 146:2

2 Samweli 22:51

Marejeo

  • +Zb 2:6; 21:1
  • +Zb 18:50; 89:20
  • +Zb 89:29, 36; Lu 1:33

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Sam. 22:1Kut 15:1; Amu 5:1
2 Sam. 22:1Zb 18:utangulizi; 34:19
2 Sam. 22:11Sa 23:14
2 Sam. 22:2Zb 18:2
2 Sam. 22:2Zb 31:3
2 Sam. 22:2Zb 144:2
2 Sam. 22:3Kum 32:4; 1Sa 2:2; Zb 144:1
2 Sam. 22:3Mwa 15:1; Kum 33:29; Zb 3:3
2 Sam. 22:31Sa 2:1
2 Sam. 22:3Zb 9:9; 18:2; 61:3; Met 18:10
2 Sam. 22:3Zb 59:16; Yer 16:19
2 Sam. 22:3Isa 12:2; Lu 1:47; Tit 3:4
2 Sam. 22:3Zb 72:14
2 Sam. 22:4Zb 148:1
2 Sam. 22:4Zb 18:3
2 Sam. 22:5Zb 69:14
2 Sam. 22:5Zb 18:4
2 Sam. 22:6Zb 116:3
2 Sam. 22:6Zb 18:5
2 Sam. 22:7Zb 120:1; 142:1; Yon 2:2
2 Sam. 22:7Zb 116:4
2 Sam. 22:7Zb 18:6
2 Sam. 22:7Kut 3:7; Zb 34:15
2 Sam. 22:8Amu 5:4
2 Sam. 22:8Ayu 26:11
2 Sam. 22:8Zb 18:7; 77:18; 97:4
2 Sam. 22:9Zb 97:3; Isa 30:27
2 Sam. 22:9Zb 18:8
2 Sam. 22:10Zb 144:5; Isa 64:1
2 Sam. 22:10Kum 4:11; 1Fa 8:12; Zb 18:9; 97:2
2 Sam. 22:111Sa 4:4; Zb 80:1; 99:1
2 Sam. 22:11Zb 18:10; Ebr 1:7
2 Sam. 22:12Ayu 36:29
2 Sam. 22:12Zb 18:11
2 Sam. 22:13Zb 18:12
2 Sam. 22:14Kut 19:16; 1Sa 2:10
2 Sam. 22:14Zb 18:13; Isa 30:30
2 Sam. 22:15Zb 7:13; 77:17
2 Sam. 22:15Zb 18:14; 144:6
2 Sam. 22:16Kut 14:21; Zb 106:9; 114:3; Nah 1:4
2 Sam. 22:161Sa 2:8; 1Nya 16:30; Zb 9:8; 33:8; 77:18
2 Sam. 22:16Kut 15:8; Zb 18:15
2 Sam. 22:17Zb 18:16; 144:7
2 Sam. 22:17Zb 32:6; 124:4; Omb 3:54
2 Sam. 22:18Zb 3:7; 56:9
2 Sam. 22:18Zb 18:17
2 Sam. 22:191Sa 19:11; 23:26; 2Sa 15:10
2 Sam. 22:19Zb 18:18; 118:10; Isa 50:10
2 Sam. 22:20Zb 31:8; 118:5
2 Sam. 22:20Zb 18:19; 149:4
2 Sam. 22:211Sa 26:23; 1Fa 8:32
2 Sam. 22:21Zb 18:20; 24:4
2 Sam. 22:22Met 8:32; Mhu 12:13
2 Sam. 22:22Zb 18:21
2 Sam. 22:23Kum 6:1; 7:12; Zb 19:9; 119:30
2 Sam. 22:23Kum 8:11; Zb 18:22
2 Sam. 22:24Mwa 6:9; 17:1; Kum 18:13; Zb 84:11
2 Sam. 22:24Zb 18:23; Met 14:16
2 Sam. 22:25Ayu 34:11; Zb 7:8; Isa 3:10; Ebr 11:6
2 Sam. 22:25Zb 18:24; Met 5:21
2 Sam. 22:26Zb 37:28; 86:2; 97:10; Yer 3:12
2 Sam. 22:26Zb 18:25
2 Sam. 22:27Zb 18:26; Mt 5:8; 1Pe 1:16
2 Sam. 22:27Kum 28:62; Zb 125:5; Ro 1:28
2 Sam. 22:28Ayu 34:28; Sef 3:12
2 Sam. 22:28Ayu 40:11; Zb 18:27; 101:5; Da 4:37; 1Pe 5:5
2 Sam. 22:29Ayu 29:3; Zb 27:1; Isa 60:19
2 Sam. 22:29Zb 18:28; 97:11; Mt 13:43
2 Sam. 22:30Flp 4:13; Ebr 11:34
2 Sam. 22:30Kum 2:36; Zb 18:29
2 Sam. 22:31Kum 32:4
2 Sam. 22:31Zb 12:6; 119:140; Met 30:5
2 Sam. 22:312Sa 22:3; Zb 18:30; 35:2; 91:4
2 Sam. 22:32Isa 44:6; 45:5; 1Ko 8:4
2 Sam. 22:32Kum 32:31; 1Sa 2:2; Zb 18:31; 94:22; 95:1
2 Sam. 22:33Zb 27:1; 31:4; Isa 12:2
2 Sam. 22:33Zb 18:32; Isa 26:7
2 Sam. 22:34Zb 18:33; Hab 3:19
2 Sam. 22:34Kum 32:13; Isa 33:16; 58:14
2 Sam. 22:35Zb 144:1
2 Sam. 22:35Zb 18:34
2 Sam. 22:36Zb 18:35
2 Sam. 22:36Zb 113:6
2 Sam. 22:37Zb 4:1; 18:36
2 Sam. 22:37Zb 17:5
2 Sam. 22:38Zb 18:37
2 Sam. 22:39Zb 110:6
2 Sam. 22:39Kut 14:13
2 Sam. 22:39Zb 18:38; 110:1; Mal 4:3
2 Sam. 22:401Sa 23:5; Zb 44:3
2 Sam. 22:401Sa 17:49; Zb 18:39; 44:5; 144:2
2 Sam. 22:41Mwa 49:8; Kut 23:27; Yos 10:24
2 Sam. 22:41Zb 18:40; 21:8
2 Sam. 22:42Zb 18:41
2 Sam. 22:421Sa 28:6; Ayu 27:9; Met 1:28; Isa 1:15; Eze 20:3; Mik 3:4
2 Sam. 22:43Zb 18:42; Isa 10:6; Mik 7:10; Zek 10:5
2 Sam. 22:441Sa 30:6; 2Sa 15:12
2 Sam. 22:44Kum 28:13; 2Sa 8:3; Zb 2:8; 60:8
2 Sam. 22:44Zb 18:43; Isa 55:5; 65:1; Ho. 2:23; Mdo 15:14
2 Sam. 22:45Kum 33:29; 1Fa 10:24; Isa 61:5; Zek 8:23
2 Sam. 22:45Zb 18:44
2 Sam. 22:46Zb 18:45; Mik 7:17
2 Sam. 22:47Kum 32:40
2 Sam. 22:47Kum 32:4
2 Sam. 22:47Zb 18:46; 89:26
2 Sam. 22:481Sa 25:29; 2Sa 18:19; Zb 94:1
2 Sam. 22:48Zb 18:47; 110:1; 144:2; 1Ko 15:25
2 Sam. 22:49Zb 18:48
2 Sam. 22:492Sa 5:12; 7:9
2 Sam. 22:49Zb 140:1
2 Sam. 22:50Kum 32:43; Zb 18:49; 117:1; Ro 15:9
2 Sam. 22:501Nya 16:9; Zb 145:2; 146:2
2 Sam. 22:51Zb 2:6; 21:1
2 Sam. 22:51Zb 18:50; 89:20
2 Sam. 22:51Zb 89:29, 36; Lu 1:33
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Samweli 22:1-51

2 Samweli

22 Na Daudi akamwambia Yehova maneno ya wimbo+ huu siku ambayo Yehova alikuwa amemkomboa kutoka katika mkono wa adui+ zake wote na kutoka katika mkono wa Sauli;+ 2 naye akasema:

“Yehova ni mwamba+ wangu na ngome+ yangu na Mwokoaji wangu.+

 3 Mungu wangu ni mwamba+ wangu. Nitamkimbilia,

Ngao+ yangu na pembe+ yangu ya wokovu, kilele+ changu salama,

Na mahali pangu pa kukimbilia,+ Mwokozi+ wangu; unaniokoa kutoka katika jeuri.+

 4 Nitamwita, Yehova, Yule anayestahili kusifiwa,+

Nami nitaokolewa kutoka kwa adui zangu.+

 5 Kwa maana mashuu yanayosababisha kifo yalinizunguka;+

Kulikuwa na mafuriko ya ghafula ya watu wasiofaa kitu yaliyoendelea kuniogopesha.+

 6 Kamba za Kaburi* zilinizunguka;+

Mitego ya kifo ilinikabili.+

 7 Katika taabu yangu niliendelea kumwita Yehova,+

Nami niliendelea kumwita Mungu wangu.+

Ndipo kutoka katika hekalu lake akaisikia sauti yangu,+

Kilio changu cha kuomba msaada kikaingia masikioni mwake.+

 8 Nayo dunia ikaanza kutikisika na kutetemeka;+

Misingi ya mbingu ikasukasuka,+

Nayo ikatikisika-tikisika kwa sababu alikuwa amekasirishwa.+

 9 Moshi ukapanda katika mianzi ya pua yake, na moto kutoka kinywani mwake ukaendelea kuteketeza;+

Makaa yakawaka moto kutoka kwake.+

10 Naye akaziinamisha mbingu, akashuka;+

Na giza zito lilikuwa chini ya miguu yake.+

11 Naye akaja akiwa amepanda juu ya kerubi,+ akaja akiwa anaruka;

Naye akaonekana juu ya mabawa ya roho.+

12 Ndipo akaweka giza kumzunguka kama vibanda,+

Maji yenye giza, mawingu mazito.+

13 Kutoka katika mwangaza mbele yake yakawaka makaa yanayowaka ya moto.+

14 Yehova akaanza kunguruma+ kutoka mbinguni,

Na Aliye Juu Zaidi akaanza kutoa sauti yake.+

15 Naye akaendelea kuitupa mishale, ili awatawanye;+

Umeme, ili awavuruge.+

16 Na sakafu za vijito vya bahari zikaonekana,+

Misingi ya nchi yenye kuzaa+ ikafunuliwa,

Kwa kemeo la Yehova, kwa mlipuko wa pumzi ya pua yake.+

17 Alikuwa akituma mkono kutoka juu, alikuwa akinichukua,+

Alikuwa akinitoa ndani ya maji makuu.+

18 Alikuwa akinikomboa kutoka kwa adui yangu mwenye nguvu,+

Kutoka kwa wale wanaonichukia; kwa sababu walikuwa na nguvu kuliko mimi.+

19 Waliendelea kunikabili katika siku ya msiba wangu,+

Lakini Yehova akawa tegemeo langu.+

20 Naye akanitoa nje mpaka mahali penye nafasi tele;+

Alikuwa akiniokoa, kwa sababu alikuwa amependezwa nami.+

21 Yehova hunipa thawabu kulingana na uadilifu wangu;+

Hunilipa kulingana na usafi wa mikono yangu.+

22 Kwa maana nimezishika njia za Yehova,+

Wala kwa uovu sikuondoka kwa Mungu wangu.+

23 Kwa maana maamuzi yake yote ya hukumu+ yako mbele yangu;

Na kwa habari ya sheria zake, sitageuka kando kuziacha.+

24 Nami nitajiendesha bila kosa+ mbele zake,

Nami nitajiepusha na kosa.+

25 Yehova na anilipe kulingana na uadilifu wangu,+

Kulingana na usafi wangu mbele za macho yake.+

26 Kwa mtu mshikamanifu utatenda kwa ushikamanifu;+

Kwa mtu asiye na kosa, mwenye nguvu, utatenda kwa njia isiyo na kosa;+

27 Kwa mtu anayebaki safi utakuwa safi,+

Na kwa mpotovu utatenda kama mpumbavu.+

28 Nawe utawaokoa watu wanyenyekevu;+

Bali macho yako, yako dhidi ya wenye majivuno, ili uwashushe.+

29 Kwa maana wewe ni taa yangu, Ee Yehova,+

Na Yehova ndiye anayefanya giza langu liangaze.+

30 Kwa maana kwa msaada wako ninaweza kukimbiza kikundi cha waporaji;+

Kwa msaada wa Mungu wangu ninaweza kuupanda ukuta.+

31 Mungu wa kweli, njia yake ni kamilifu;+

Neno la Yehova limetakaswa.+

Yeye ni ngao kwa wale wote wanaomkimbilia.+

32 Kwa maana ni nani aliye Mungu ila Yehova,+

Na ni nani aliye mwamba ila Mungu wetu?+

33 Mungu wa kweli ni ngome yangu yenye nguvu,+

Naye ataifanya njia yangu iwe kamilifu,+

34 Anaifanya miguu yangu iwe kama ile ya paa;+

Na kwenye mahali palipo juu kwa ajili yangu yeye huendelea kunisimamisha.+

35 Anaifundisha mikono yangu kupigana vita;+

Nayo mikono yangu imepinda upinde wa shaba.+

36 Nawe utanipa ngao yako ya wokovu,+

Na unyenyekevu wako ndio hunifanya niwe mkuu.+

37 Utafanyiza nafasi kubwa ya kutosha kwa ajili ya hatua zangu zilizo chini yangu;+

Navyo vifundo vya miguu yangu hakika havitatetemeka.+

38 Nitawafuatilia adui zangu, ili niwamalize,

Nami sitarudi mpaka waangamizwe.+

39 Nami nitawaangamiza na kuwavunja vipande-vipande,+ ili wasisimame;+

Nao wataanguka chini ya miguu yangu.+

40 Nawe utanifunga mshipi wa nguvu kwa ajili ya vita;+

Utawaangusha chini yangu wale wanaoniinukia.+

41 Nao adui zangu, utanipa upande wa nyuma wa shingo yao;+

Wale wanaonichukia vikali​—​nitawanyamazisha pia.+

42 Wanalia wapate msaada, lakini hakuna mwokozi;+

Kwa Yehova, lakini yeye hawajibu.+

43 Nami nitawatwanga wawe laini kama mavumbi ya udongo;

Nitawaponda kama matope ya barabarani;+

Nitawapiga niwalaze.

44 Nawe utanifanya niponyoke lawama ya watu wangu.+

Utanilinda niwe kiongozi wa mataifa;+

Watu ambao sikujua​—​watanitumikia.+

45 Wageni watanijia wakitetemeka;+

Masikio yatatii ili kunisikia.+

46 Wageni watakuwa dhaifu,

Nao watakuja wakitetemeka kutoka katika maboma yao.+

47 Yehova anaishi;+ na abarikiwe Mwamba wangu;+

Na Mungu wa mwamba wa wokovu wangu atukuzwe.+

48 Mungu wa kweli ndiye Mpaji wa matendo ya kisasi kwangu+

Na ndiye anayeshusha vikundi vya watu chini yangu,+

49 Na ndiye anayeniondoa kwa adui zangu.+

Nawe utaniinua juu ya wale wanaosimama dhidi yangu;+

Utanikomboa kutoka kwa mtu mwenye vitendo vya jeuri.+

50 Ndiyo sababu nitakushukuru wewe, Ee Yehova, kati ya mataifa;+

Nami nitalipigia jina lako muziki:+

51 Yule anayefanya matendo makuu ya wokovu kwa ajili ya mfalme wake+

Na kuonyesha fadhili zenye upendo kwa mtiwa-mafuta wake,+

Kwa Daudi na kwa uzao wake mpaka wakati usio na kipimo.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki