Kumbukumbu la Torati 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na Yehova kwa kweli atakuweka kuwa kichwa wala si mkia; nawe utakuwa juu tu,+ wala hutakuwa chini, kwa sababu unaendelea kutii amri+ za Yehova Mungu wako, ambazo ninakuamuru wewe leo ili uzishike na kuzifanya. 2 Samweli 8:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Na Daudi akampiga Hadadezeri+ mwana wa Rehobu mfalme wa Soba+ alipokuwa akienda zake kurudisha mamlaka yake kwenye mto Efrati.+ Zaburi 2:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Niombe,+ ili nikupe mataifa yawe urithi wako+Na miisho ya dunia iwe miliki yako mwenyewe.+ Zaburi 60:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Moabu ni chungu changu cha kuoshea.+Nitatupa kiatu changu juu ya Edomu.+Nitapiga kelele za ushindi juu ya Ufilisti.”+
13 Na Yehova kwa kweli atakuweka kuwa kichwa wala si mkia; nawe utakuwa juu tu,+ wala hutakuwa chini, kwa sababu unaendelea kutii amri+ za Yehova Mungu wako, ambazo ninakuamuru wewe leo ili uzishike na kuzifanya.
3 Na Daudi akampiga Hadadezeri+ mwana wa Rehobu mfalme wa Soba+ alipokuwa akienda zake kurudisha mamlaka yake kwenye mto Efrati.+
8 Moabu ni chungu changu cha kuoshea.+Nitatupa kiatu changu juu ya Edomu.+Nitapiga kelele za ushindi juu ya Ufilisti.”+