6 Baada ya muda wana wa Amoni wakaona kuwa wamenuka+ machoni pa Daudi, na wana wa Amoni wakatuma ujumbe na kukodisha Wasiria wa Beth-rehobu+ na Wasiria wa Soba,+ watu 20,000 wanaoenda kwa miguu, na mfalme wa Maaka,+ watu 1,000, na Ishtobu, watu 12,000.