Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 14:47
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 47 Naye Sauli akachukua ufalme juu ya Israeli,+ akaanza kupiga vita kuzunguka pande zote juu ya adui zake wote, juu ya Moabu+ na juu ya wana wa Amoni+ na juu ya Edomu+ na juu ya wafalme wa Soba+ na juu ya Wafilisti;+ na mahali popote alipogeukia, akawatendea kama waliohukumiwa kuwa na hatia.+

  • 2 Samweli 10:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Baada ya muda wana wa Amoni wakaona kuwa wamenuka+ machoni pa Daudi, na wana wa Amoni wakatuma ujumbe na kukodisha Wasiria wa Beth-rehobu+ na Wasiria wa Soba,+ watu 20,000 wanaoenda kwa miguu, na mfalme wa Maaka,+ watu 1,000, na Ishtobu, watu 12,000.

  • 1 Wafalme 11:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na Mungu akamsimamishia mpinzani+ mwingine, yaani, Rezoni mwana wa Eliada, aliyekuwa amekimbia kutoka kwa Hadadezeri+ mfalme wa Soba+ bwana wake.

  • Zaburi 60:utangulizi
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • Kwa kiongozi juu ya Yungiyungi la Kikumbusho. Miktamu. Ya Daudi. Kwa ajili ya kufundishia.+ Wakati alipopambana na Aram-naharaimu na Aram-Soba, naye Yoabu akarudi na kupiga Edomu katika Bonde la Chumvi, naam, watu kumi na mbili elfu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki