8 Nao wana wa Amoni wakaanza kutoka, wajipange katika vikosi vya vita kwenye mwingilio wa lango, pia Wasiria wa Soba na wa Rehobu,+ na Ishtobu na Maaka wakiwa peke yao uwanjani.+
6 Baada ya muda, wana wa Amoni wakaona kuwa wamenuka+ machoni pa Daudi, na Hanuni+ na wana wa Amoni wakatuma talanta 1,000 za fedha+ ili kukodi magari+ na wapanda-farasi kutoka Mesopotamia na kutoka Aram-maaka+ na kutoka Soba.+