1 Mambo ya Nyakati 19:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Baada ya muda Waamoni wakaona kuwa wananuka mbele ya Daudi, kwa hiyo Hanuni na Waamoni wakatuma talanta 1,000 za fedha* ili kukodi magari ya vita na wapanda farasi kutoka Mesopotamia,* Aram-maaka, na Soba.+
6 Baada ya muda Waamoni wakaona kuwa wananuka mbele ya Daudi, kwa hiyo Hanuni na Waamoni wakatuma talanta 1,000 za fedha* ili kukodi magari ya vita na wapanda farasi kutoka Mesopotamia,* Aram-maaka, na Soba.+