-
1 Samweli 11:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Na ikawa kesho yake kwamba Sauli+ akaweka watu katika vikosi vitatu;+ nao wakaingia katikati ya kambi wakati wa kesha la kuamkia asubuhi+ na kuwapiga Waamoni+ mpaka wakati siku ilipokuwa na jua kali. Na baadhi yao walipoonekana kuwa wamebaki, ndipo wakatawanywa, wala hawakubaki watu wawili wakiwa pamoja kati yao.+
-