Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 11
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Samweli 11:1

Marejeo

  • +Kum 2:19
  • +Amu 21:8; 1Sa 31:11
  • +Kum 23:3

1 Samweli 11:2

Marejeo

  • +Amu 16:21; 2Fa 25:7
  • +Met 18:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    12/15/1995, kur. 9-10

1 Samweli 11:3

Marejeo

  • +Amu 3:9

1 Samweli 11:4

Marejeo

  • +1Sa 10:26; 14:2
  • +Amu 2:4; 21:2; 1Sa 30:4

1 Samweli 11:6

Marejeo

  • +Amu 3:10; 6:34; 11:29; 14:6; 1Sa 10:10; 16:13
  • +Kut 11:8; 32:19; Ro 12:9

1 Samweli 11:7

Marejeo

  • +Amu 19:29
  • +Amu 21:5
  • +1Nya 14:17
  • +Mwa 35:5; 2Nya 14:14; 17:10
  • +Amu 20:8

1 Samweli 11:8

Marejeo

  • +1Sa 13:15

1 Samweli 11:9

Marejeo

  • +Zb 18:17

1 Samweli 11:10

Marejeo

  • +1Sa 11:3

1 Samweli 11:11

Marejeo

  • +1Sa 9:16
  • +Amu 7:16; 9:43; Met 24:6
  • +Kut 14:24
  • +1Sa 11:1
  • +Kum 28:7; Zb 21:8, 12

1 Samweli 11:12

Marejeo

  • +1Sa 10:27; Met 24:21
  • +Met 25:5; Lu 19:27

1 Samweli 11:13

Marejeo

  • +2Sa 19:22; Met 20:28; Ro 12:19
  • +1Sa 19:5; 1Nya 11:14; Zb 44:7; Isa 59:16

1 Samweli 11:14

Marejeo

  • +1Sa 7:16
  • +1Sa 10:17, 24

1 Samweli 11:15

Marejeo

  • +Law 7:11; 1Sa 10:8
  • +1Fa 1:40; 2Fa 11:14; 1Nya 12:40; Ufu 19:6

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Sam. 11:1Kum 2:19
1 Sam. 11:1Amu 21:8; 1Sa 31:11
1 Sam. 11:1Kum 23:3
1 Sam. 11:2Amu 16:21; 2Fa 25:7
1 Sam. 11:2Met 18:3
1 Sam. 11:3Amu 3:9
1 Sam. 11:41Sa 10:26; 14:2
1 Sam. 11:4Amu 2:4; 21:2; 1Sa 30:4
1 Sam. 11:6Amu 3:10; 6:34; 11:29; 14:6; 1Sa 10:10; 16:13
1 Sam. 11:6Kut 11:8; 32:19; Ro 12:9
1 Sam. 11:7Amu 19:29
1 Sam. 11:7Amu 21:5
1 Sam. 11:71Nya 14:17
1 Sam. 11:7Mwa 35:5; 2Nya 14:14; 17:10
1 Sam. 11:7Amu 20:8
1 Sam. 11:81Sa 13:15
1 Sam. 11:9Zb 18:17
1 Sam. 11:101Sa 11:3
1 Sam. 11:111Sa 9:16
1 Sam. 11:11Amu 7:16; 9:43; Met 24:6
1 Sam. 11:11Kut 14:24
1 Sam. 11:111Sa 11:1
1 Sam. 11:11Kum 28:7; Zb 21:8, 12
1 Sam. 11:121Sa 10:27; Met 24:21
1 Sam. 11:12Met 25:5; Lu 19:27
1 Sam. 11:132Sa 19:22; Met 20:28; Ro 12:19
1 Sam. 11:131Sa 19:5; 1Nya 11:14; Zb 44:7; Isa 59:16
1 Sam. 11:141Sa 7:16
1 Sam. 11:141Sa 10:17, 24
1 Sam. 11:15Law 7:11; 1Sa 10:8
1 Sam. 11:151Fa 1:40; 2Fa 11:14; 1Nya 12:40; Ufu 19:6
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Samweli 11:1-15

1 Samweli

11 Na Nahashi Mwamoni+ akapanda na kupiga kambi juu ya Yabeshi+ katika Gileadi. Kwa hiyo watu wote wa Yabeshi wakamwambia Nahashi: “Fanya agano pamoja nasi ili tukutumikie.”+ 2 Ndipo Nahashi Mwamoni akawaambia: “Nitafanya agano pamoja nanyi kwa sharti hili, kwa sharti la kung’oa+ kila jicho lenu la kuume, nami ni lazima niweke jambo hilo kuwa shutuma juu ya Israeli wote.”+ 3 Nao wanaume wazee wa Yabeshi wakamwambia: “Tupatie muda wa siku saba, nasi tutatuma wajumbe katika eneo lote la Israeli, na, ikiwa hatutapata mwokozi,+ ndipo tutalazimika kuja kwako.” 4 Baadaye hao wajumbe wakaja Gibea+ la Sauli na kusema maneno hayo masikioni mwa watu, na watu wote wakaanza kupaaza sauti zao na kulia.+

5 Lakini tazama, Sauli akija nyuma ya mifugo yake kutoka shambani, naye Sauli akasema: “Watu wana nini, kwamba walie?” Wakaanza kumsimulia maneno ya wale watu wa Yabeshi. 6 Na roho+ ya Mungu ikaanza kutenda kazi juu ya Sauli alipoyasikia maneno hayo, hasira yake ikawaka sana.+ 7 Kwa hiyo akachukua ng’ombe-dume wawili, akawakata vipande-vipande, akavipeleka katika eneo lote la Israeli+ kwa mkono wa wajumbe, akisema: “Yeyote kati yetu ambaye hatatoka akiwa mfuasi wa Sauli na Samweli, ng’ombe zake watafanywa hivi!”+ Na hofu+ ya Yehova+ ikaanza kuwashika watu hivi kwamba wakatoka kama mtu mmoja.+ 8 Ndipo akahesabu+ watu hao katika Bezeki, na wana wa Israeli wakawa jumla ya 300,000, na watu wa Yuda 30,000. 9 Basi wakawaambia wale wajumbe ambao walikuwa wamekuja: “Hivi ndivyo mtakavyowaambia watu wa Yabeshi katika Gileadi, ‘Kesho mtapata wokovu wakati wa jua kali.’”+ Basi wale wajumbe wakaja na kuwaambia watu wa Yabeshi, nao wakaanza kushangilia. 10 Kwa hiyo watu wa Yabeshi wakasema: “Kesho tutawajia ninyi, nanyi mtutendee kulingana na yote yaliyo mema machoni  penu.”+

11 Na ikawa kesho yake kwamba Sauli+ akaweka watu katika vikosi vitatu;+ nao wakaingia katikati ya kambi wakati wa kesha la kuamkia asubuhi+ na kuwapiga Waamoni+ mpaka wakati siku ilipokuwa na jua kali. Na baadhi yao walipoonekana kuwa wamebaki, ndipo wakatawanywa, wala hawakubaki watu wawili wakiwa pamoja kati yao.+ 12 Na watu wakaanza kumwambia Samweli: “Ni nani wanaosema, ‘Je, Sauli atakuwa mfalme juu yetu?’+ Watoeni watu hao, ili tuwaue.”+ 13 Hata hivyo, Sauli akasema: “Mtu yeyote asiuawe leo,+ kwa maana leo Yehova ametimiza wokovu katika Israeli.”+

14 Baadaye Samweli akawaambia watu: “Njooni, twende Gilgali,+ ili tuufanye upya ufalme huko.”+ 15 Basi watu wote wakaenda Gilgali, kisha wakamfanya Sauli kuwa mfalme mbele za Yehova katika Gilgali. Ndipo wakatoa huko dhabihu za ushirika mbele za Yehova,+ na Sauli na watu wote wa Israeli wakaendelea kushangilia huko kwa hali ya juu sana.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki