2 Samweli 19:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Lakini Daudi akasema: “Nina nini nanyi,+ ninyi wana wa Seruya, kwamba muwe leo mpinzani+ wangu? Je, yeyote atauawa leo katika Israeli?+ Kwa maana, je, sijui vema kwamba leo mimi ni mfalme juu ya Israeli?” Methali 20:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Fadhili zenye upendo na ukweli—hizo humlinda mfalme;+ na kwa fadhili zenye upendo amedumisha kiti chake cha ufalme.+ Waroma 12:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Wapendwa, msijilipizie kisasi+ wenyewe bali iachieni nafasi ghadhabu;+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”+
22 Lakini Daudi akasema: “Nina nini nanyi,+ ninyi wana wa Seruya, kwamba muwe leo mpinzani+ wangu? Je, yeyote atauawa leo katika Israeli?+ Kwa maana, je, sijui vema kwamba leo mimi ni mfalme juu ya Israeli?”
28 Fadhili zenye upendo na ukweli—hizo humlinda mfalme;+ na kwa fadhili zenye upendo amedumisha kiti chake cha ufalme.+
19 Wapendwa, msijilipizie kisasi+ wenyewe bali iachieni nafasi ghadhabu;+ kwa maana imeandikwa: “Kisasi ni changu; mimi nitalipa, asema Yehova.”+