Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 29:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nao wakuu wa Wafilisti wakamghadhibikia; na wakuu Wafilisti wakaendelea kumwambia: “Mrudishe mtu huyo,+ mwache arudi mahali ulipompa; wala usiache ashuke pamoja nasi kwenda vitani, asije akawa mpinzani+ wetu katika vita. Na je, mtu huyu atajipatia kibali kwa bwana wake jinsi gani? Je, si kwa vichwa vya watu wetu?

  • 1 Wafalme 5:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Na sasa Yehova Mungu wangu amenipa pumziko kuzunguka pande zote.+ Hakuna mpinzani, wala hakuna jambo baya linalotendeka.+

  • Mathayo 16:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini akamgeuzia mgongo wake, akamwambia Petro: “Nenda nyuma yangu, Shetani!+ Wewe ni kikwazo kwangu, kwa sababu wewe unafikiri, si fikira za Mungu,+ bali za wanadamu.”

  • Yakobo 1:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 kwa maana ghadhabu ya mwanadamu haitokezi uadilifu wa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki