19 Na kulikuwa na baadhi ya watu wa Manase waliotorokea kwa Daudi alipokuja na Wafilisti+ juu ya Sauli kwa ajili ya vita; lakini hakuwasaidia, kwa sababu baada ya kushauriana, wakuu wa muungano+ wa Wafilisti walimfukuza, wakisema: “Atatoroka amwendee Sauli bwana wake na kuhatarisha vichwa vyetu.”+