Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 12
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati 12:1

Marejeo

  • +1Sa 27:6; 2Sa 1:1
  • +1Sa 27:1
  • +2Sa 17:8; 1Nya 11:10

1 Mambo ya Nyakati 12:2

Marejeo

  • +Amu 3:15; 20:16
  • +1Sa 17:49
  • +1Sa 20:20
  • +Mwa 49:27; 1Sa 18:4

1 Mambo ya Nyakati 12:3

Marejeo

  • +1Sa 11:4
  • +1Nya 11:33
  • +1Nya 11:28

1 Mambo ya Nyakati 12:4

Marejeo

  • +Yos 9:3
  • +1Nya 11:15
  • +1Nya 27:28

1 Mambo ya Nyakati 12:6

Marejeo

  • +Hes 26:11; 1Nya 9:19

1 Mambo ya Nyakati 12:8

Marejeo

  • +1Sa 23:14, 29; 24:22; 1Nya 11:16
  • +2Nya 25:5
  • +2Sa 1:23; 17:10
  • +2Sa 2:18

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 169

    The Watchtower,

    10/1/2005, uku. 10

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 10

1 Mambo ya Nyakati 12:14

Marejeo

  • +Mwa 49:19; Kum 33:20
  • +Law 26:8; Zb 18:39

1 Mambo ya Nyakati 12:15

Marejeo

  • +Yos 4:12
  • +Yos 3:15

1 Mambo ya Nyakati 12:16

Marejeo

  • +1Sa 22:4; 23:14; 24:22

1 Mambo ya Nyakati 12:17

Marejeo

  • +1Sa 16:4; 1Fa 2:13
  • +2Fa 10:15; Mdo 4:32
  • +1Sa 24:12
  • +Mwa 31:42; 1Sa 26:23; Zb 7:6
  • +1Sa 24:15

1 Mambo ya Nyakati 12:18

Marejeo

  • +Amu 6:34; 13:25
  • +2Sa 15:21
  • +Zb 54:4
  • +1Sa 8:12; 22:7

1 Mambo ya Nyakati 12:19

Marejeo

  • +1Sa 29:2
  • +Amu 3:3
  • +1Sa 29:4

1 Mambo ya Nyakati 12:20

Marejeo

  • +1Sa 30:1
  • +Kum 1:15; 33:17

1 Mambo ya Nyakati 12:21

Marejeo

  • +1Sa 30:1
  • +1Nya 5:24; 11:10

1 Mambo ya Nyakati 12:22

Marejeo

  • +2Sa 2:3
  • +2Sa 3:1; Ayu 17:9
  • +Mwa 32:2; Yos 5:14

1 Mambo ya Nyakati 12:23

Marejeo

  • +2Sa 2:1; 5:1
  • +1Nya 10:14
  • +1Sa 16:1, 13; 1Nya 11:10

1 Mambo ya Nyakati 12:27

Marejeo

  • +1Nya 27:5
  • +1Nya 6:49; 27:17

1 Mambo ya Nyakati 12:28

Marejeo

  • +2Sa 8:17; 1Fa 1:8; 2:35; 1Nya 6:8

1 Mambo ya Nyakati 12:29

Marejeo

  • +1Nya 8:1; 12:2
  • +1Nya 8:33

1 Mambo ya Nyakati 12:30

Marejeo

  • +2Sa 17:10

1 Mambo ya Nyakati 12:31

Marejeo

  • +Yos 17:2

1 Mambo ya Nyakati 12:32

Marejeo

  • +Kum 33:18
  • +Est 1:13; Lu 12:56
  • +Met 14:8; Mhu 7:19; 9:18

1 Mambo ya Nyakati 12:33

Marejeo

  • +Yos 19:10

1 Mambo ya Nyakati 12:34

Marejeo

  • +Yos 19:32

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Ufahamu, uku. 169

1 Mambo ya Nyakati 12:36

Marejeo

  • +Yos 19:24

1 Mambo ya Nyakati 12:37

Marejeo

  • +Hes 32:33; Yos 13:8

1 Mambo ya Nyakati 12:38

Marejeo

  • +1Nya 11:10
  • +Mwa 49:8, 10; 2Nya 30:12; Zb 110:3

1 Mambo ya Nyakati 12:39

Marejeo

  • +1Fa 1:25

1 Mambo ya Nyakati 12:40

Marejeo

  • +Yos 19:17
  • +Yos 19:10
  • +Yos 19:32
  • +2Sa 16:2
  • +2Sa 17:28
  • +1Sa 25:18
  • +2Sa 6:19
  • +Mwa 49:12
  • +Kum 33:24
  • +2Sa 17:29
  • +1Sa 25:18
  • +Met 11:10; 29:2; Mhu 10:19

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 12:11Sa 27:6; 2Sa 1:1
1 Nya. 12:11Sa 27:1
1 Nya. 12:12Sa 17:8; 1Nya 11:10
1 Nya. 12:2Amu 3:15; 20:16
1 Nya. 12:21Sa 17:49
1 Nya. 12:21Sa 20:20
1 Nya. 12:2Mwa 49:27; 1Sa 18:4
1 Nya. 12:31Sa 11:4
1 Nya. 12:31Nya 11:33
1 Nya. 12:31Nya 11:28
1 Nya. 12:4Yos 9:3
1 Nya. 12:41Nya 11:15
1 Nya. 12:41Nya 27:28
1 Nya. 12:6Hes 26:11; 1Nya 9:19
1 Nya. 12:81Sa 23:14, 29; 24:22; 1Nya 11:16
1 Nya. 12:82Nya 25:5
1 Nya. 12:82Sa 1:23; 17:10
1 Nya. 12:82Sa 2:18
1 Nya. 12:14Mwa 49:19; Kum 33:20
1 Nya. 12:14Law 26:8; Zb 18:39
1 Nya. 12:15Yos 4:12
1 Nya. 12:15Yos 3:15
1 Nya. 12:161Sa 22:4; 23:14; 24:22
1 Nya. 12:171Sa 16:4; 1Fa 2:13
1 Nya. 12:172Fa 10:15; Mdo 4:32
1 Nya. 12:171Sa 24:12
1 Nya. 12:17Mwa 31:42; 1Sa 26:23; Zb 7:6
1 Nya. 12:171Sa 24:15
1 Nya. 12:18Amu 6:34; 13:25
1 Nya. 12:182Sa 15:21
1 Nya. 12:18Zb 54:4
1 Nya. 12:181Sa 8:12; 22:7
1 Nya. 12:191Sa 29:2
1 Nya. 12:19Amu 3:3
1 Nya. 12:191Sa 29:4
1 Nya. 12:201Sa 30:1
1 Nya. 12:20Kum 1:15; 33:17
1 Nya. 12:211Sa 30:1
1 Nya. 12:211Nya 5:24; 11:10
1 Nya. 12:222Sa 2:3
1 Nya. 12:222Sa 3:1; Ayu 17:9
1 Nya. 12:22Mwa 32:2; Yos 5:14
1 Nya. 12:232Sa 2:1; 5:1
1 Nya. 12:231Nya 10:14
1 Nya. 12:231Sa 16:1, 13; 1Nya 11:10
1 Nya. 12:271Nya 27:5
1 Nya. 12:271Nya 6:49; 27:17
1 Nya. 12:282Sa 8:17; 1Fa 1:8; 2:35; 1Nya 6:8
1 Nya. 12:291Nya 8:1; 12:2
1 Nya. 12:291Nya 8:33
1 Nya. 12:302Sa 17:10
1 Nya. 12:31Yos 17:2
1 Nya. 12:32Kum 33:18
1 Nya. 12:32Est 1:13; Lu 12:56
1 Nya. 12:32Met 14:8; Mhu 7:19; 9:18
1 Nya. 12:33Yos 19:10
1 Nya. 12:34Yos 19:32
1 Nya. 12:36Yos 19:24
1 Nya. 12:37Hes 32:33; Yos 13:8
1 Nya. 12:381Nya 11:10
1 Nya. 12:38Mwa 49:8, 10; 2Nya 30:12; Zb 110:3
1 Nya. 12:391Fa 1:25
1 Nya. 12:40Yos 19:17
1 Nya. 12:40Yos 19:10
1 Nya. 12:40Yos 19:32
1 Nya. 12:402Sa 16:2
1 Nya. 12:402Sa 17:28
1 Nya. 12:401Sa 25:18
1 Nya. 12:402Sa 6:19
1 Nya. 12:40Mwa 49:12
1 Nya. 12:40Kum 33:24
1 Nya. 12:402Sa 17:29
1 Nya. 12:401Sa 25:18
1 Nya. 12:40Met 11:10; 29:2; Mhu 10:19
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 12:1-40

1 Mambo ya Nyakati

12 Na hawa ndio waliomjia Daudi kule Siklagi+ alipokuwa angali chini ya vizuizi kwa sababu ya Sauli+ mwana wa Kishi; nao walikuwa kati ya wale wanaume wenye nguvu,+ wasaidizi katika vita, 2 wenye upinde, wanaotumia mkono wa kuume na kutumia mkono wa kushoto+ wakiwa na mawe+ au wakiwa na mishale+ katika upinde.+ Walikuwa wa ndugu za Sauli, wa Benyamini. 3 Kulikuwa na kichwa Ahiezeri na Yoashi wana wa Shemaa Mgibea,+ na Yezieli na Peleti wana wa Azmavethi,+ na Baraka na Yehu Mwanathothi,+ 4 na Ishmaya Mgibeoni,+ mwanamume mwenye nguvu kati ya wale 30+ na aliye juu ya wale 30; na Yeremia na Yahazieli na Yohanani na Yozabadi Mgedera,+ 5 Eluzai na Yerimothi na Bealia na Shemaria na Shefatia Mharifu, 6 Elkana na Ishia na Azareli na Yoezeri na Yashobeamu, Wakora,+ 7 na Yoela na Zebadia wana wa Yerohamu wa Gedori.

8 Na palikuwa na baadhi ya Wagadi waliojitenga kuwa upande wa Daudi katika mahali palipo pagumu kufikiwa nyikani,+ mashujaa, wanaume wenye nguvu, wanaume wa jeshi kwa ajili ya vita, wenye ngao kubwa na mkuki tayari,+ ambao nyuso zao zilikuwa nyuso za simba,+ nao walikuwa na mwendo kama swala juu ya milima.+ 9 Ezeri ndiye aliyekuwa kichwa, Obadia wa pili, Eliabu wa tatu, 10 Mishmana wa nne, Yeremia wa tano, 11 Atai wa sita, Elieli wa saba, 12 Yohanani wa nane, Elzabadi wa tisa, 13 Yeremia wa kumi, Makbanai wa kumi na moja. 14 Hao walikuwa wa wana wa Gadi,+ vichwa vya jeshi. Aliye mdogo zaidi alikuwa sawa na mia moja, na aliye mkubwa zaidi alikuwa sawa na elfu moja.+ 15 Hao ndio waliovuka Yordani+ katika mwezi wa kwanza mto ulipokuwa umefurika kingo zake,+ kisha wakawafukuza wale wote wa nchi tambarare za chini, kuelekea upande wa mashariki na upande wa magharibi.

16 Na baadhi ya wana wa Benyamini na Yuda wakaja kwa Daudi, katika mahali palipo pagumu kufikiwa.+ 17 Ndipo Daudi akatoka mbele yao, akajibu na kuwaambia: “Ikiwa mmenijia kwa amani+ ili kunisaidia, moyo wangu utaungana nanyi.+ Lakini ikiwa ni kunisaliti kwa adui zangu wakati hakuna kosa lolote mikononi mwangu,+ Mungu+ wa mababu zetu na aone hilo na kulinyoosha.”+ 18 Na roho+ ikamfunika Amasai, kichwa cha wale 30:

“Sisi ni wako, Ee Daudi, nasi tuko pamoja nawe,+ Ee mwana wa Yese.

Amani, amani iwe yako, na amani kwa yule anayekusaidia,

Kwa maana Mungu wako amekusaidia.”+

Basi Daudi akawapokea, akawaweka kati ya vichwa vya vikosi.+

19 Na kulikuwa na baadhi ya watu wa Manase waliotorokea kwa Daudi alipokuja na Wafilisti+ juu ya Sauli kwa ajili ya vita; lakini hakuwasaidia, kwa sababu baada ya kushauriana, wakuu wa muungano+ wa Wafilisti walimfukuza, wakisema: “Atatoroka amwendee Sauli bwana wake na kuhatarisha vichwa vyetu.”+ 20 Alipokuja Siklagi,+ Adna na Yozabadi na Yediaeli na Mikaeli na Yozabadi na Elihu na Zilethai, vichwa+ vya maelfu wa Manase walitoroka kutoka kwa Manase na kumwendea. 21 Nao wakamsaidia Daudi kupigana na kile kikundi cha waporaji,+ kwa sababu wote hao walikuwa mashujaa, wanaume wenye nguvu,+ nao wakawa wakuu katika jeshi; 22 kwa maana watu walizidi kumjia+ Daudi siku kwa siku ili kumsaidia, mpaka ilipokuwa kambi kubwa,+ kama kambi ya Mungu.+

23 Na hizi ndizo zilizokuwa hesabu za vichwa vya walioandaliwa kwa ajili ya jeshi ambao walimjia Daudi kule Hebroni+ ili kumpa ufalme+ wa Sauli kulingana na agizo la Yehova.+ 24 Wana wa Yuda waliokuwa wakichukua ngao kubwa na mkuki walikuwa 6,800, waliotayarishwa kwa ajili ya jeshi. 25 Wa wana wa Simeoni mashujaa, wanaume wenye nguvu wa jeshi walikuwa 7,100.

26 Wa wana wa Walawi 4,600. 27 Na Yehoyada alikuwa ndiye kiongozi+ wa wana wa Haruni,+ naye alikuwa pamoja na watu 3,700. 28 Pia Sadoki+ kijana, shujaa mwenye nguvu, na nyumba ya mababu zake, wakuu 22.

29 Na wa wana wa Benyamini,+ ndugu za Sauli,+ walikuwa 3,000, na mpaka wakati huo hesabu iliyo kubwa kati yao walikuwa wakiilinda kwa makini nyumba ya Sauli. 30 Na wa wana wa Efraimu walikuwa 20,800, mashujaa, wanaume wenye nguvu,+ wanaume wenye sifa, kulingana na nyumba za mababu zao.

31 Na wa nusu ya kabila la Manase+ walikuwa 18,000 waliochaguliwa kwa majina waje kumfanya Daudi kuwa mfalme. 32 Na wa wana wa Isakari+ walio na ujuzi wa jinsi ya kutambua nyakati+ ili kujua yale ambayo Israeli wanapaswa kufanya,+ walikuwa 200 wa kwao, na ndugu zao wote walifuata maagizo yao. 33 Wa Zabuloni+ wale wanaoingia jeshini, wanaojipanga kivita pamoja na silaha zote za vita, walikuwa 50,000, nao wakawa wakimiminika kwa Daudi bila kuwa na mioyo miwili. 34 Na wa Naftali+ walikuwa wakuu 1,000, na pamoja nao wenye ngao kubwa na mkuki walikuwa 37,000. 35 Na wa Wadani wale wanaojipanga kivita walikuwa 28,600. 36 Na wa Asheri+ wale wanaoingia jeshini ili kujipanga kivita walikuwa 40,000.

37 Na kutoka ng’ambo ya Yordani+ wa Warubeni na Wagadi na nusu ya kabila la Manase na silaha zote za kijeshi walikuwa 120,000. 38 Hao wote walikuwa wanaume wa vita, wakimiminika pamoja kujipanga katika vikosi vya kupigana; walikuja kwa moyo kamili+ huko Hebroni ili kumfanya Daudi kuwa mfalme juu ya Israeli wote; na pia waliobaki wa Israeli walikuwa na moyo mmoja kwa ajili ya kumfanya Daudi kuwa mfalme.+ 39 Nao wakaendelea kuwa hapo pamoja na Daudi siku tatu, wakila na kunywa,+ kwa kuwa ndugu zao walikuwa wamewafanyia matayarisho. 40 Na pia wale waliokuwa karibu nao, hata mpaka Isakari+ na Zabuloni+ na Naftali,+ wakawa wakileta chakula juu ya punda+ na juu ya ngamia na juu ya nyumbu na juu ya ng’ombe, vyakula vya unga,+ keki za tini zilizoshinikizwa+ na keki za zabibu kavu+ na divai+ na mafuta+ na ng’ombe+ na kondoo+ kwa wingi sana, kwa maana kulikuwa na shangwe+ katika Israeli.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki