2 Na kura ikawa kwa wana wa Manase waliobaki kulingana na familia zao, kwa wana wa Abiezeri+ na wana wa Heleki+ na wana wa Asrieli na wana wa Shekemu+ na wana wa Heferi na wana wa Shemida.+ Hao walikuwa wana wa Manase mwana wa Yosefu, wanaume kulingana na familia zao.