Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waamuzi 6:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa uliokuwa katika Ofra, mali yake Yoashi Mwabiezeri,+ wakati Gideoni+ mwana wake alipokuwa akipepeta ngano katika shinikizo la divai ili kuiondoa haraka machoni pa Midiani.

  • Waamuzi 8:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Mwishowe akawaambia: “Basi mimi nimefanya nini kwa kulinganishwa nanyi?+ Je, masalio ya Efraimu+ si bora kuliko ukusanyaji wa zabibu wa Abiezeri?+

  • 1 Mambo ya Nyakati 7:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Na dada yake alikuwa Hamolekethi. Aliwazaa Ishodi na Abiezeri+ na Mala.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki