Waamuzi 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa wa Yoashi Mwabiezeri uliokuwa Ofra.+ Gideoni mwanawe+ alikuwa akipura ngano katika shinikizo la divai ili Wamidiani wasiione. Waamuzi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 6:11 w05 7/15 14 Waamuzi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 6:11 Mnara wa Mlinzi,6/15/2014, uku. 297/15/2005, uku. 14
11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa wa Yoashi Mwabiezeri uliokuwa Ofra.+ Gideoni mwanawe+ alikuwa akipura ngano katika shinikizo la divai ili Wamidiani wasiione.