Waamuzi 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa uliokuwa katika Ofra, mali yake Yoashi Mwabiezeri,+ wakati Gideoni+ mwana wake alipokuwa akipepeta ngano katika shinikizo la divai ili kuiondoa haraka machoni pa Midiani. Waamuzi Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 6:11 w05 7/15 14 Waamuzi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 6:11 Mnara wa Mlinzi,6/15/2014, uku. 297/15/2005, uku. 14
11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa uliokuwa katika Ofra, mali yake Yoashi Mwabiezeri,+ wakati Gideoni+ mwana wake alipokuwa akipepeta ngano katika shinikizo la divai ili kuiondoa haraka machoni pa Midiani.