Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 17:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na kura ikawa kwa wana wa Manase waliobaki kulingana na familia zao, kwa wana wa Abiezeri+ na wana wa Heleki+ na wana wa Asrieli na wana wa Shekemu+ na wana wa Heferi na wana wa Shemida.+ Hao walikuwa wana wa Manase mwana wa Yosefu, wanaume kulingana na familia zao.

  • Waamuzi 6:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi Gideoni akamjengea Yehova madhabahu+ hapo, nayo inaendelea kuitwa+ jina Yehova-shalomu mpaka leo hii. Bado iko katika Ofra+ ya Waabiezeri.

  • Waamuzi 8:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Mwishowe Gideoni mwana wa Yoashi akafa akiwa mwenye umri mwema wa uzeeni, akazikwa katika kaburi la Yoashi baba yake katika Ofra la Waabiezeri.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki