Waamuzi 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa uliokuwa katika Ofra, mali yake Yoashi Mwabiezeri,+ wakati Gideoni+ mwana wake alipokuwa akipepeta ngano katika shinikizo la divai ili kuiondoa haraka machoni pa Midiani. Waamuzi 6:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi Gideoni akamjengea Yehova madhabahu+ hapo, nayo inaendelea kuitwa+ jina Yehova-shalomu mpaka leo hii. Bado iko katika Ofra+ ya Waabiezeri.
11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa uliokuwa katika Ofra, mali yake Yoashi Mwabiezeri,+ wakati Gideoni+ mwana wake alipokuwa akipepeta ngano katika shinikizo la divai ili kuiondoa haraka machoni pa Midiani.
24 Basi Gideoni akamjengea Yehova madhabahu+ hapo, nayo inaendelea kuitwa+ jina Yehova-shalomu mpaka leo hii. Bado iko katika Ofra+ ya Waabiezeri.