24 Na hata hivyo upinde wake ulikuwa katika mahali pa kudumu,+ na nguvu za mikono yake zilikuwa zenye kunepa.+ Kwa mikono ya Mwenye Nguvu wa Yakobo,+ hapo ndipo alipo Mchungaji, Jiwe la Israeli.+
32 Nami nitasema nini zaidi? Kwa maana nitakosa wakati nikiendelea kusimulia juu ya Gideoni,+ Baraka,+ Samsoni,+ Yeftha,+ Daudi+ na vilevile Samweli+ na wale manabii wengine,+