20 Kwa upande wenu, ninyi mlikuwa na uovu akilini mwenu kunielekea mimi. Mungu alikuwa na wema akilini kwa kusudi la kutenda kama ilivyo leo hii ili kuhifadhi hai watu wengi.+
16 kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova amesema hivi: “Tazama, ninaweka katika Sayuni+ jiwe+ kuwa msingi, jiwe lililojaribiwa,+ jiwe la pembeni+ lenye thamani la msingi imara.+ Yeyote anayeonyesha imani hataingiwa na wasiwasi.+
42 Yesu akawaambia: “Je, hamkusoma kamwe katika Maandiko, ‘Jiwe ambalo wajenzi walilikataa+ ndilo limekuwa jiwe kuu la pembeni.+ Limetokana na Yehova, nalo ni la kustaajabisha machoni petu’?