Isaya 51:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nami nitayatia maneno yangu katika kinywa chako,+ na hakika mimi nitakufunika kwa kivuli cha mkono wangu,+ ili kuzipanda mbingu+ na kuuweka msingi wa dunia+ na kuuambia Sayuni, ‘Ninyi ni watu wangu.’+ Mathayo 16:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Pia, ninakuambia, Wewe ni Petro,+ na juu ya mwamba huu+ nitajenga kutaniko langu, na malango ya Kaburi*+ hayatalizidi nguvu.+ 1 Wakorintho 3:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana hakuna mtu anayeweza kuweka msingi+ mwingine wowote kuliko ule uliowekwa, ambao ni Yesu Kristo.+ Waefeso 2:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 nanyi mmejengwa juu ya msingi+ wa mitume+ na manabii,+ naye Kristo Yesu mwenyewe akiwa ndiye jiwe la msingi la pembeni.+
16 Nami nitayatia maneno yangu katika kinywa chako,+ na hakika mimi nitakufunika kwa kivuli cha mkono wangu,+ ili kuzipanda mbingu+ na kuuweka msingi wa dunia+ na kuuambia Sayuni, ‘Ninyi ni watu wangu.’+
18 Pia, ninakuambia, Wewe ni Petro,+ na juu ya mwamba huu+ nitajenga kutaniko langu, na malango ya Kaburi*+ hayatalizidi nguvu.+
11 Kwa maana hakuna mtu anayeweza kuweka msingi+ mwingine wowote kuliko ule uliowekwa, ambao ni Yesu Kristo.+
20 nanyi mmejengwa juu ya msingi+ wa mitume+ na manabii,+ naye Kristo Yesu mwenyewe akiwa ndiye jiwe la msingi la pembeni.+