Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 60:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 “Na wana wa wale wanaokutesa watakuja kwako, wakiwa wanainama;+ na wale wote wanaokuvunjia heshima watainama penye nyayo za miguu yako,+ nao watakuita wewe jiji la Yehova, Sayuni+ wa Mtakatifu wa Israeli.

  • Yeremia 31:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 “Kwa maana hili ndilo agano+ nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,”+ asema Yehova. “Nitaitia sheria yangu ndani yao,+ nami nitaiandika katika moyo wao.+ Nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu.”+

  • Yeremia 32:38
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Na hakika wao watakuwa watu wangu,+ nami mwenyewe nitakuwa Mungu wao.+

  • Zekaria 8:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Nami nitawaleta ndani, nao watakaa katikati ya Yerusalemu;+ nao watakuwa watu wangu,+ nami nitakuwa Mungu wao katika ukweli na katika uadilifu.’ ”+

  • Waebrania 8:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “ ‘Kwa maana hili ndilo agano nitakalofanya pamoja na nyumba ya Israeli baada ya siku hizo,’ asema Yehova. ‘Nitazitia sheria zangu katika akili yao, nami nitaziandika katika mioyo yao.+ Nami nitakuwa Mungu wao,+ nao watakuwa watu wangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki