Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 14:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na vikundi vya watu kwa kweli vitawachukua na kuwaleta mahali pao wenyewe, na nyumba ya Israeli watajichukulia hao wawe urithi juu ya udongo wa Yehova wakiwa watumishi wanaume na wakiwa wajakazi;+ nao watawateka+ wale wanaowashika mateka, nao watawatiisha wale waliokuwa wakiwalazimisha kwenda kazini.+

  • Isaya 45:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Yehova amesema hivi: “Wafanyakazi wa Misri+ wasiolipwa na wanabiashara wa Ethiopia na Wasabea,+ watu warefu,+ watakujia wewe, nao watakuwa wako.+ Watatembea nyuma yako; watakuja wamefungwa pingu,+ nao watakuinamia wewe.+ Watasali kwako, wakisema, ‘Kwa kweli Mungu ameungana na wewe,+ na hakuna mwingine yeyote; hakuna Mungu mwingine.’”+

  • Yeremia 16:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Ee Yehova nguvu zangu na ngome yangu, na kimbilio langu katika siku ya taabu,+ kwako wewe mataifa yote yatakuja kutoka miisho ya dunia,+ nao watasema: “Kwa kweli mababu zetu walikuja kumiliki uwongo mtupu,+ ubatili na vitu ambavyo ndani yake havina faida yoyote.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki